Meet Me At The Altar

de Wanavokali

My love, I want you
My love, I need you
Every timw I see you
(Inadi club)
Every time I see you
(You light it up!)

Hey, hey, hey

Naomba nafasi mi nicheze na we
Njoo karibu, usinicheki toka mbali
Hatujuani, but tonight you could be my bae
Songa nami, hii form imekubali

Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako Ana kwa Ana
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako Ana kwa Ana

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena

Hey, hey, hey

Napenda unavyong'aa kama taa
Hapa we ndio star
You've got me feeling things that I can't explain
Tu vitu, Ma vitu
I think I'm falling for you just a little

Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako Ana kwa Ana
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako Ana kwa Ana

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena

Vunja mifupa, kaza mshipi na tuzikwende
Tukizunguka, kaende, kaende
Teremka, kata kiuno jionyeshe
Inuka, Inuka

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa

Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena

Más canciones de Wanavokali