The Heights

de Queen Udasco

Aah sshh!
Ratata Tatata!
Aaah! Aaah! Aaah! Haaa!
Tawire! (Surprise)
Tawire! Tawire!

Tawire, Tawire
Tawire, Tawire
Tawire, Tawire
Mganga tawire

Wanakuvuta (eh), kila unapotafuta
Ukizikuta (eh), wanazingira ukuta
Ata uwe na guta (eh), akili zinawaruka
Wanaroga duka (eh), mpaka banda la sambusa

Wanapiga manyanga (eh)
Usijenge ubaki kupanga
Wanachanganya waganga (eh)
Wa Pemba, Tanga, Sumba, Wanga
Makili kili na ma fili fili
Tunayakemea yapotee, Amina!
Madili dili mwana mbili mbili
Na mitonyo yote ilegee, Amina!

Wamekalia migoda
Wanataka kukuroga
Wachawi dumba watangoja
Weka Mungu kwako uwe namba moja

Tawire, Tawire
Tawire, Tawire
Tawire, Tawire
Mganga tawire

Wanakatisha tamaa, watakupa ukichaa
Wanafelisha ukiwakalisha ndo wanazidi kushagaa
Kila kona kila baa
Kila toto ya mtaa
Ukifanikiwa walokubania
Wanabaki wakishangaa

Unaomba afukuzwe kazi
We ukapandishwe ngazi
Kisa mapenzi unataka mwenzio
Aachwe unavunja nazi
(Kisa mapenzi unataka mwenzio
Aachwe unavunja nazi)

Wamekalia vigoda
Wanataka kukuroga
Wachawi dumba watangoja
Weka Mungu kwako awe namba moja

Tawire, Tawire
Tawire, Tawire
Tawire, Tawire
Mganga tawire

(Hallo simu ilikata)
Hallo babu, basi ndo hivyo
Maana miaka kumi sasa
Anakwenda anarudi
Mimi nachotaka ni kitu kimoja tu
Ikiwezekana familia yake yote inipende
Nipate nyumba na ndoa pia
Niwache kwa kuzalilika Insta

Tawire, Tawire
Tawire, Tawire
Tawire, Tawire
Mganga tawire

Más canciones de Queen Udasco