Utazoea (Symphony in F-Sharp Minor)

de Nyashinski

Only you babe, only you babe
You are my only one babe
My only one babe

Some say a fool never change his mind
Well maybe baby I'm a fool for you
Mapenzi kipofu kipenda maovu, honey
Ooh love is blind never seem so true

When I’m broke, natumianga bro please call me
Akipiga naomba dooh
Mbona kuna message inajitumanga send me money
To cut a long story short yoyo

Vumilia na mimi, please don't leave me
Don't let the money fool you, sponsors just wanna use you
Namwambia mtoto wa mama hasiharibikeee
Ananishow ni biashara tu
Na siwezi mshibishaa na Pangangaa tu
Na mwezi ukiisha sina ujanja too
Na renti ikibishwa huanga blunder wowowowowo

Bebi bebi, kwani me wakati sina
Leo sina kitu kesho ntafanikiwa hmm
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh

Only you babe, only you babe
You're my only one babe
My only one

Girl I wanna, girl I wanna
Girl I wanna take you to my mama
Show her you're the one for me
I'll never ever never ever leave you
Oh believe me when I say you’ll forever be my queen
Yule nalala naye kwa dhiki, ntalala naye kwaa faraja
Ahadi yangu ndo hiyo
Kama pamoja tumelia tutacheka pamojaa

Wou vumilia na mimi, please don't leave me
Don't let the money fool you
Sponsors just wanna use you
Mtoto wa mama usiharibike eeii yeaaah iyeee

Bebi bebi, kwani me wakati sina
Leo sina kitu kesho ntafanikiwa hmm
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh

Weh weh weh (only you babe)
yeah, yeah yeah
Sitahau mahali nilipotoka na weh
Only you babe, only you babe, my only one

Okay sa nacheza kabubu
Babe I dont talk I just do
We mtamu kama buyu
Zaidi ya kwa chini upo juu
Forever you be my only one
Tukiachana itaniuma
Najua kuna nigga anangoja niharibu Aruke ndani ka superstar
Usiache hi happen ishikirie ka siri
Nikimake it in life then nikushikirie hata mimi
You make me ooh babe don’t let me go, stay beside me
You make me complete how will ma heart beat without you

Bebi bebi, kwani me wakati sina
Leo sina kitu kesho ntafanikiwa hmm
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh

Más canciones de Nyashinski