Habari Ndio Hiyo
de MwanaFA
Kwa Mungu hakuna majungu, mi nina Mungu
We endelea tu (aah, aah)
We endelea tu
Kwa Mungu hakuna majungu, mi nina Mungu
We endelea tu (aah, aah)
We endelea tu
As you can see am ghetto and fabulous
Hella zinafanya dunia inazunguka, let me handle this
Sihitaji beats kutingisha kichwa chako
Naflow tu kama nina beats za moyo wako
Wakikuuliza naendelea aje waambie vizuri zaidi ya jana
Vizuri zaidi ya wao, Mungu Ana manguvu sana
Miluzi mingi na kubwa la mbwa sipotei
Mipango ya miaka chungu nzima na dira hunitoi
Yeah naitika nikijisikia, maisha usiyavalie kikoi
Na sio lazima yakubali, kwani una yadai
Subira haivuti bangi, haigongi nyagi
Inavuta heri tu na haijawahi kubugi
Kilienda kwa mganga na ka unavyoona kimerudi
Hata kama hukipendi kukiheshimu inakubidi
Mbuyu ulianza ka mchicha ila mcha haujawahi kuwa mbuyu
Sikiza walofanikiwa, ongeza zako mbayu wayu
Anayejifanya anakwamua, anakushika upigwe babu
Mtia mitama, siku nyingine hashiki adabu
Kama message sipendi, boss namshoot mpaka messenger
(Boss namshoot mpaka messenger)
Kwa Mungu hakuna majungu, mi nina Mungu
We endelea tu (aah, aah)
We endelea tu
Kwa Mungu hakuna majungu, mi nina Mungu
We endelea tu (aah, aah)
We endelea tu
Kiko ntawa, kishuwa uki mtaa
Nikucheza na namba namba ka mtu mbaya Salah
Kiko ntawa, kishuwa uki mtaa
Nikucheza na namba namba ka mtu mbaya Salah
Tafta hela za kutosha ila usipige nazo picha
Maisha yanabadilika, kausha nitakufundisha
Pozi za kigoloko lazima zitakufelisha
Amua mwenyewe, utazika utasafirisha?
Hakuna kukupigia ngoma kukuambia kuwa umekua
Miyeyusho majukumu, utakuja tukuombe dua
Utaamka tu unajua kuwa wachawi pia wanafiwa
Hata ukiwa kiboko kuna mahali utazidiwa
Huh, ukiwa mkubwa utataka kuwa kama mimi
Shati navaa la jana ila gari nimebadili
Heshima yako ilienda wapi? Heshimu pesa baada ya dini
Kwenu hakuna wakubwa wangekuwepo ungeniamini
Mwanga siti mtoto amlee, kwanza namkausha kizazi
Kata sehemu za siri, zitupe mto Zimbazi
Mi sio mgeni hapa, najua miili inapozikwa
Na kitabu hapa najua nini kimeandikwa
Ni rehema za Mungu tu na maamuzi yake tu
Kashamuua, alicho amua si ni wake tu
Kisasi ya kita nitibu hela na we utakuwa umeumia
So hata nisipo kwambia, hivi ndo navyo jiskia
We endelea tu (aah, aah)
We endelea tu (aah, aah)
(Aah, aah)
We endelea tu
We endelea tu
Más canciones de MwanaFA
-
Mabinti
Mwanafalsafani
-
We Endelea Tu
We Endelea Tu
-
Gwiji
Gwiji
-
Binamu - Remix
Unanitega
-
Sio Kwa Ubaya
Sio Kwa Ubaya
-
Dume Suruali
Dume Suruali
-
Mfalme
Mfalme
-
Kiboko Yangu
Kiboko Yangu
-
Yalaiti
Yalaiti
-
Unanitega
Unanitega
-
Bila Kukunja Goti
Bila Kukunja Goti
-
Asanteni Kwa Kuja
Asanteni Kwa Kuja
-
Bado Nipo Nipo
Unanitega
-
Huwezi Jua
Unanitega
-
Upo Hapo ?
Upo Hapo ?
-
Mfalme - Acoustic Version
Mfalme (Acoustic Version)
-
Usiwasikilize - Acoustic Version
Mfalme (Acoustic Version)
-
Dakika Moja
Habari Ndio Hiyo
-
Usije Mjini
Habari Ndio Hiyo
-
Kula Kwa Macho
Habari Ndio Hiyo