Ova
de Mbosso
ayo laizer
kako fine
kila ninikaweka kwenye line
(bilabila)
shuwaini
kwake nimelewa kama wine
(tilalila)
baby acha unachezaga (baikoko)
ye sisimizi nami gegedu
tuna gegeduana
nilivyo sina jinsi
tajiri wa mbegu
namuhonga na mwana
baba mndenge mama mzaramo
uno lake la kurithi
kafunga tenge mwali chakalamu shetani mwana ibilisi
jipuu (jipu)
uchungu (uchungu)
mwana nyuma umejaza
kishundundu
kwenye zipu (zipu)
kuna kirungu (kirungu)
usikamate utawaita wazungu
eeh heeh
babu mkuna nazi aah haah achutama kishinani
na msuli wake upo wazi
mambo yote hadharani
go! go! go! go! goal
mtoto anadaka
goli kipa runya mira (wabeja)
tena akikata anaitikisa sababu
baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyoinyonga (baikoko)
eeh waonyeshe (baikoko)
baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyoinyonga (baikoko)
eeh waonyeshe (baikoko)
asa komesha dengua! dengua
baby dengua! dengua
ringa dengua! dengua
deka dengua! dengua wakuone
kanivua ndala miguu
anataka nipite peku (peku peku)
kunduchi juu anifikishe kwetu
(kwetu kwetu)
embu tamu ladha ya kitumbua
rojo ya embe kibada! kibadah
hodari kunengua
miuno ya ushubwada (shubwadah)
nyuma kalisasambua
kafungasha midabwada (bwaadah)
anavyo tafuna mua
ka kibogoyo dada!
katoto kamelainika kwala (kwala)
kapo kama ndizi banana (nana)
nitakapeleka kwa mama (mama)
mama dangote
kama kuku twakimbizana (zana)
kana ibuka kana zama (zama)
kamwili kana balaa na lana (lana) lana kazote
ebooh! mtoto anadaka
goli kipa ronya mira (wabeja)
tena akikata anaitikisa sababu
baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyoinyonga (baikoko)
eeh waonyeshe (baikoko)
baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyoinyonga (baikoko)
eeh waonyeshe (baikoko)
asa komesha dengua! dengua
baby dengua! denguagua
ringa dengua! dengua
deka dengua! dengua wakuone
kama anaifata
anaima anainuka mwali anaifuata
kwakujishebedua
anainama anainuka mwali anaisusa
kama hataki mwaache
anaima anainuka mwali anaifuata
kwa madoidoi
anaima anainuka mwali anaifuata
(brrrok)
(ka-mix layzer)
(wasafi)
Más canciones de Mbosso
-
Sele (feat. Chley)
Sele (feat. Chley)
-
Nipepee
Nipepee
-
-
Huyu Hapa
Khan
-
Moyo (feat. Costa Titch & Phantom Steeze)
Moyo (feat. Costa Titch & Phantom Steeze)
-
For Your Love (feat. Zuchu)
For Your Love (feat. Zuchu)
-
Tamu
Tamu
-
Amepotea
Amepotea
-
Baikoko (feat. Diamond Platnumz)
Definition Of Love
-
Mtaalam
Definition Of Love
-
Kiss Me
Definition Of Love
-
Tulizana (feat. Njenje Kilimanjaro Band)
Definition Of Love
-
Yalah
Definition Of Love
-
Sakata (feat. Flavour)
Definition Of Love
-
Pakua (feat. Rayvanny)
Definition Of Love
-
Karibu (feat. Diamond Platnumz)
Definition Of Love
-
Your Love (feat. Liya)
Definition Of Love
-
Kadada (feat. Darassa)
Definition Of Love
-
Yes (feat. Spice Diana)
Definition Of Love
-
Nipo Nae
Definition Of Love