21

de LAVA J

Kiangazi masika ukiichanganya
Vyote vikashuka kwangu vitanielemea
Ntakosa pa kushika ntavavanya
Wewe ndo mwandani wangu nliokuzoea

Ntunza vyangu visiri mwenye kunisitiri
Fundi mitambo
Kinga yangu ya mwili usiyelipa bili
Kuchoma changu
Simtaki kafiri jangiri, mwingi wa mambo
Moyo akaukatilli
Nikondeshe mwili ajifanye rambo

Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unanjua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu presha
Yanshuka yapanda
Niahidi kama

(Utatulia aah)
Baby, niahidi kama
(Utatulia aah)
Hhmm nisibaki nkashika tama
(Utatulia aah)
Baby, niahidi kama
(Utatulia aah)
Hhmm wasiniibie cha ngama

Maneno yangu
Si biblia wala masaafu
Useme usibadili hhmm
Jichunge kipenzi changu
Unanisikia usicheze rafu
Yatimie waliotabiri
Yeah, yeah

Usijifanye Ronaldinho
Penzi utie mbwembwe utahaaribu
Visokolokwinyo wakupitie denge kukujaribu
Kina capachino
Wakakutia wenge kwa vizabibu
Wakugongeshe mvinyo
Ukaota mapembe iwe aibu

Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unanjua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu presha
Yanishuka yapanda
Niahidi kama

(Utatulia aah)
Baby, niahidi kama
(Utatulia aah)
Hhmm nisibaki nkashika tama
(Utatulia aah)
Baby, niahidi kama
(Utatulia aah)
Hhmm wasiniibie cha ngama

Eeeh eh yani kama
(Ukitulia tulia)
Sitathubutu macho kupepesa
(Ukitulia tulia)
Ukinipa kiduchu nitatosheka
(Kama ukitulia tulia)
Sitofwata nguruchu niende teseka
(Ukitulia tulia)
Eeh Nami ntatulia

Más canciones de LAVA J