Nibusu (feat. Yammi)
de Barnaba
Laisse-moi tranquille
Je veux pas !
Eehe, vidonge kumeza na soda
Eehe, jinsi utinge na moka eeh
(Ni ushamba) chunga mdomo
Hujaulizwa we unaropoka eeh
Kumiliki buku huku kuliotaga ghorofa eheh
Mumeo nimelala ndani we unataka toka
Ebo!
Maisha yangu nimezaliwa Tandale
Nyumbani Mtugule sikufundwa mkule
Ndo maana
Nyumbani kwetu lazima limbwata
Na tamaduni zetu mwiko kutoa talaka
Ata mimi nyumbani kwetu vimini wanakataza
Kwenda kwa miziki mixer vibao kata
No no noo, no no no
Chausiku baby
Una majina mengi
Maana unapendwa na wengi
Ebo!, nimejichanganya
Upendo si kitu baby
Maana waongo ni wengi
Usije niacha stendi
Iyeeh, utanichanganya
Chausiku baby (utajijua)
Una majina mengi (I don't)
Maana unapendwa na wengi
Ebo!, nimejichanganya
Upendo si kitu baby (jifikirie mama)
Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)
Usije niacha stendi (no no)
Iyeeh, utanichanganya
Heri ya mimi kanda mbili wewe kata mbugaa
Unajitia mwema baba (oh no no no no)
Kumbe sio mwema kakaa
Juzi ulifumwaga na Rozi
Yule muuza vipodozi (ooh no no)
Mke wa kinyozi (oh no no noo)
Wananizushia, uhuni kwetu mwiko
Mimi mtoto wa sheikh (maskani maadrasa)
Tumezaliwa mtaa mmoja, nakujua (isiwe sababu)
Umechafua mtaa mpaka wauza vitumbua (no no noo)
Tumalize mzizi wa fitina nimezama kwako
Unanisaidiaje, eheh
Nyumbani kwetu lazima limbwata
Natamaduni zetu mwiko kutoa talaka
Ata mimi nyumbani kwetu vimini wanakataza
Kwenda kwa miziki mixer vibao kata
No no noo!
Chausiku baby (utajijua)
Una majina mengi (I don't)
Maana unapendwa na wengi
Ebo!, nimejichanganya
Upendo si kitu baby (jifikirie mama)
Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)
Usije niacha stendi (no no)
Iyeeh, utanichanganya
Chausiku baby (utajijua)
Una majina mengi (I don't)
Maana unapendwa na wengi
Ebo!, nimejichanganya
Upendo si kitu baby (jifikirie mama)
Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)
Usije niacha stendi (no no)
Aaaah
Maruwe ruwe kichwa kimepagawa dadaa, pagawa dada
Nimeugua we ndo dawaa, we ndo dawa
Unenepe ukonde yote sawaa, yote sawa
Utafute vidonge mi sio dawaa, mi sio dawa
Aah ooh, yeiye baba!
Más canciones de Barnaba
-
Hadithi (feat. Diamond Platnumz)
Love Sounds Different
-
Tamu (feat. Nandy)
Love Sounds Different
-
Washa
Washa
-
Nibusu (feat. Yammi & Mbosso)
Nibusu (feat. Yammi & Mbosso)
-
Sayuni (feat. Joel Lwaga)
Love Sounds Different
-
Only You (feat. Jay Melody)
Love Sounds Different
-
Lover Boy
Gold
-
Hunitaki (feat. Mbosso)
Love Sounds Different
-
Ngoma (feat. Aslay)
Gold
-
Blessed
Blessed
-
Sijiwezi (feat. Jux)
Love Sounds Different
-
Cheketua (feat. Alikiba)
Love Sounds Different
-
Marry Me (feat. Marioo)
Love Sounds Different
-
Mzuri (feat. Rayvanny)
Love Sounds Different
-
Warohoni (feat. Young Lunya)
Love Sounds Different
-
One More Time (feat. Khaligraph Jones)
Love Sounds Different
-
Hata Sielewi (feat. Saraphina)
Love Sounds Different
-
Halichachi (feat. Khadija Kopa)
Love Sounds Different
-
I Miss you (feat. Lady Jaydee)
Love Sounds Different
-
Ongeza (feat. Lody Music)
Love Sounds Different