Cheketua (feat. Alikiba)

de Barnaba

Tosa la secret baby
Jamais!

Yoo zane valee baby
Yoo zane valee papaa

Treni langu la kutongoza limefunga breki
Na kituo ndo wewe (ndo wewe kipenzi)
Sina mengi mimi, sio mtoto wa mjini
Nimefundwa jandoni kipenzi

Hadithi hadithi uongo njoo
Haya nieleze porojo, mi bado mdogo
Hivi ni juzi ulikuja na maua (yes)
Ulikuwa na barua ila sikuifungua, na na na (why)

Ungesoma ndani (why), ungejua vingi (no)
Vile moyo wangu ulivyojawa na vigingi
Wewe una mume (nampenda), na mi n'na mke
Twaweza iba bado wasishituke! (lo!)

Kumbe muhuni
Aku siwezi ku-share penzi nawe
Kasoro yangu nini
Si una mke, yule amekosa nini
Oh uh yeah, oh uh oohh!

Kwanza ningekuomba
Kipenzi ukubali
Tutafanya siri ya watu wawili

Utaniponza kwa jambo hili
Hamnaga siri ya watu wawili

Kama ukikubali
Nitakupa kagari
Na visalary
Utakuwa bonge la sistaduu

Alinifunza mama
Niogope wavulana
Nikae mbali
Nyie wabaya sana

Kwetu nyumbani
Tumekulia kwenye dini, mmh
Penda wako nyumbani kwanza
Kisha unipende mimi, mmh
(Au uongo baba!)

Aaa asante kwa muda wako
Nimependa majibu yako
Hivi nikuulize swali? (niulize nini?)
Anavyotoka mumeo unajua mangapi anafanya?
Ni muhuni (muongo)
Niseme nini (muongo)
Kila kitu (muongo)
Maneno yenu hayakuvuna pendo

Huna jipya (muongo)
Useme nini (muongo)
Maneno yako (muongo)
Kibaya zaidi mke wako akijua

Kumbe muhuni
Aku siwezi ku-share penzi nawe
Kasoro yangu nini
Si una mke, yule amekosa nini (oh no)
Oh yeah, ooh oohh! (ebo!)

Ukikubali
Nitakupa kagari
Na visalary
Utakuwa bonge la sistaduu

Alinifunza mama
Niogope wavulana
Nikae mbali
Nyie wabaya sana

Kwanza ningekuomba
Kipenzi ukubali
Tutafanya siri ya watu wawili

Utaniponza kwa jambo hili
Hamnaga siri ya watu wawili

Kama ukikubali
Nitakupa kagari
Na visalary
Utakuwa bonge la sistaduu

Aliniifunza mama
Niogope wavulana
Nikae mbali
Nyie wabaya sana

Más canciones de Barnaba