Antonia (feat. Harmonize)

de Abbah

Kama kupenda maradhi, niko hoi taabani
Na kama kutangaza nakupenda kosa, nifungwe
Kama kupenda upofu, mi sioni na sisikii
Ndo maana natangaza nakupenda

Moyo wangu usiangamie
Sichepuki makona kona
Na upona niugue
Ukifika mi napona pona
Na rangi yako ya black me nakuona white
We kifupi nyundo, nakuonaga mnara
Anapo ona dawa, mwepesi

Mmh aah japo chii chii, chibonge
Aah chi chi chi chibonge
Chi chi chibonge
Aah chi chi chi chibonge

Aah minyama tu
Akipita minyama
Anatingisha minyama tu
Vile akipita minyama

Aah minyama tu
Akipita minyama
Anatingisha minyama tu
Vile akipita minyama, minyama

Shepu ya mabonde mabonde, nimeridhia
Nitakumiliki usikonde, ata nikifulia
Ooh beiby unashoza ng'ombe, mbuzi wanakimbia
Na uwasha mhogo wa jang'ombe leta sufuria

Beiby usijipe stress, wewe kibonge mwepesi
Waruka mpaka sarakasi, samba kareti
Unajua eeh
Hips kiuno shangao za machaini chaini (beiby you like the)
Nyembamba kiuno chako feni (gyal gyal)

Mmh aah japo chii chii, chibonge
Aah chi chi chi chibonge
Chi chi chibonge
Aah chi chi chi chibonge

Aah minyama tu
Akipita minyama
Anatingisha minyama tu
Vile akipita minyama (minyama)

Mwenzako mi napendaga vibaya, baya baya
Mwenzako mi nina ugonjwa wa moyo, moyo moyo
Mwenzako mi napendaga vibaya
Mwenzako mi nina ugonjwa wa moyo

Más canciones de Abbah

  • No se encontraron más canciones del artista.